wakati huo mawe yanakua hayapo?Krav maga for life!!!
Ukija kwa pupa nakutengua goti chap
Ni sehemu pia ya Krav maga. Ukumbuke Krav maga sio "martial" art, bali "An art of self self defence"wakati huo mawe yanakua hayapo?
Krav maga noma huo mchezoNi sehemu pia ya Krav maga. Ukumbuke Krav maga sio "martial" art, bali "An art of self self defence"
Ukiokota jiwe na mimi naokota jiwe
Habar wakuu,
Napenda sana mchezo wa boxing, hivyo natafuta mwalimu wa kunifundisha boxing ili nitimize ndoto yangu. Naamini humu nitampata mwalimu.
Nina miaka 27, nina urefu wa futi 6, pia naf
Njoo inbox mzeeHabar wakuu,
Napenda sana mchezo wa boxing, hivyo natafuta mwalimu wa kunifundisha boxing ili nitimize ndoto yangu. Naamini humu nitampata mwalimu.
Nina miaka 27, nina urefu wa futi 6, pia nafanya sana mazoezi. 0653935516
anya sana mazoezi.
Bongo kuna walimu wa krav marga au labda gym na dojo wanazofundisha hii art ?? Krav maga ni kibokoKrav maga for life!!!
Ukija kwa pupa nakutengua goti chap
Krav maga ndio namba 1 katika list yoyote ya sanaa zilizo hatari zaidi ya kujihamiBongo kuna walimu wa krav marga au labda gym na dojo wanazofundisha hii art ?? Krav maga ni kiboko
Habar wakuu,
Napenda sana mchezo wa boxing, hivyo natafuta mwalimu wa kunifundisha boxing ili nitimize ndoto yangu. Naamini humu nitampata mwalimu.
Nina miaka 27, nina urefu wa futi 6, pia nafanya sana mazoezi. 0653935516
Kwa nn umemuuliza kama ana bima ya afya mjomba hahahahahahaKwa nini "unafanya sana" mazoezi?
Kula unakula vizuri?
Muda wa kurecover mwili upo?
Sheria za boxing unazijua?
Historia ya ngumi bongo na duniani unaijua?
NB: Una bima ya afya?
Ukiviweza hivi basi utakua vizuri!
Kwa nn umemuuliza kama ana bima ya afya mjomba hahahahahaha
Hahahahahah bima ya afya muhimu aseehMkuu, hizi ngumi zina mambo yake asee kama usipocheza karata zako vizuri unaeza pigwa kama ngoma ukahitaji matibabu na huna pesa inakua ngumu...ukiwa na bima angalau unaeza pata matibabu sawa