Natafuta Mume

Unataka mume? Njoo kwangu ila ukidhi viwango na matakwa yangu, uwe na umri kuanzia miaka 18 hadi 40, uwe haujawahi kuolewa na hauna mtoto, elimu kuanzia la saba hadi chuo kikuu, uwe na akili timamu, usiwa mlevi, usiwe malaya. Kuna upendeleo utapata wa kulegeza masharti kama utakuwa na tabia nzuri
 
Nimei-quote hii comment doc usije kuikana kama ya mama 5πŸ˜…
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…