Mayotte
Senior Member
- Nov 19, 2021
- 160
- 405
Hahahaha unaharibu sasa mkuunisingependa ku generalize lakini, experience yangu na wanawake karibia wanane waliokuwa wakitafuta wapenzi humu jf ni kwamba, WOTE WANA SURA NA MAUMBO MABAYA!!
sorry!
Hahahaha unaharibu sasa mkuunisingependa ku generalize lakini, experience yangu na wanawake karibia wanane waliokuwa wakitafuta wapenzi humu jf ni kwamba, WOTE WANA SURA NA MAUMBO MABAYA!!
sorry!
Miaka 33 na masharti hayo yote juu, wakati kuna walio malza vyuo miaka 23 hadi 25 hawana masharti yoyote
ShukraniKila la heri
Duniani hapa hapaMiaka yote ulikuwa wapi??
Kila mmoja ashinde mechi zakeMiaka 33 na masharti hayo yote juu, wakati kuna walio malza vyuo miaka 23 hadi 25 hawana masharti yoyote
Wabaya watu!Kwasababu ana miaka 33 ndo asiwe na vigezo?
Kama unaona haukizi vigezo vyake pita pembeni
Karibunakuja mkuu, hata Mimi natafuta mke
Selective?kwani huyo atakuwa wako?jua limezama bibie, acha kua selective
Wengi tuUna watoto wangapi
Kwa ajili ya faida ya nani mkuu?aliye na uhitaji atakuja pmJieleze zzaidi muonekano wako rangi ,shepu, mrefu mfupi n.k
Hutakiwi kuhoji sana wewe si muhusikaWewe unajitambua? una hofu ya Mungu? una watoto wangapi?
Unamaanisha nini unaposema anatambua nafasi yake ilhali bado yuko nje yako.....kutambua nafasi is relative. inategemeana na patner yukoje
Hata wewe kumkadiria mtu tabia kama vile wamfahamu sana nayo Mungu hapendezwi.inaonesha tu si msafi wa moyoH
Hofu ya Mungu ndo nini? We ungekuwa na hofu ya Mungu si ungeshapata wa kukuoa? Maana kutoolewa ujuwe ni ujeuri na Mungu hapendi mambo hayo..
I love my motherlandInterested,je una watoto Wangapio?je waweza kuishi Kenya?Ungekubali kupimwa mwili?, karibu sana
Kwa kweli kila mmoja apambane kivyake.Kwa wanawake ndoa ni achievement
Kwa mwanamme ni Mzigo
Mke + watoto ni bonge moja la kazi katika dunia ya sasa.
Kila mtu afe kivyake tuu!
Si ajira,wala si achievement mmetuonea kama hamuhitaji si msioe tu.kabisa, kwao ni ajira iliyochangamka
Ni interest tu
WATOTO WANGU WAKIWA WATATU WATALETA ATHARI GANI?
TUANZIE HAPO KABLA SIJALETA MAHARI KWENU.
Im not here to test anyone.No one directed me to come with this thread.Naona ameingia mitini.Inaonekana ulikuwa una test mitambo uone mwitikio utakuwaje.
Ongeza ongeza nyama katika maelezo yako ueleweke vizuri na ujibu maswali uliyoulizwa.
Umegeuka kungwi mkuu?Lugha laini ungesema "nahitaji"
Hii kutafuta ni kazi na vitu vingine, kuwa romantic Lily
Uzuri wa mtu uko machoni kwa mtu kwako mbaya kwa wenzako mzuri,in short usichokitaka wengine wanakithamini.How will you feel mtoto wako wa kike akiwa disvalued kama hivyo.Malipo hapa hapa duniani mkuunisingependa ku generalize lakini, experience yangu na wanawake karibia wanane waliokuwa wakitafuta wapenzi humu jf ni kwamba, WOTE WANA SURA NA MAUMBO MABAYA!!
sorry!
No big noPunguza masharti, nina miaka 25