Natafuta mume

Status
Not open for further replies.
Usiniumize kaka sikupenda hli litokee na nimehangaika sana binafsi mpaka sasa nina uchungu na ninaon aibu nimeharibu kazi,nimeharibu maisha,ndugu wamenitenga nimekuwa na maisha hayakko sawa faraja yangu ni mwanangu na mume inauma sana kuitumikia familia na kuwajali kama wako wakakugeuka na kusahau kila kitu mbaya zaidi na mtoto wamekuachia wamekutesa toka mimba mpaka umejifungua
Pole Sana ndio maisha na ninaamini umejifunza
 
Mimi ni msomaji mzuri wa humu muda mrefu sana,najitokeza kwenu kutafuta mume ambae yuko tayari kwa ndoa na kupima ukimwi.
Wasifu.
Ni mama wa mtoto mmoja.
Naishi Dar es salaam.
Elimu yangu chuo kikuu japo kwa sasa sina ajira.
Umri wangu miaka 30.
Mkristo.
Mwanaume nimtafutae.
Kuanzia miaka 32.
Awe anajitambua na ajue nini maana ya mke na familia na amkubali na kumpenda mwanangu kama mwanae wa kumzaa
Awe tayari kupima ukimwi.
Nahitaji mwanaume aliekuwa serious muda wa kupotezeana sina asiwe na mahusiano yoyote anipende sana na kunilea kama yai maana mie najua kupenda sana na ninajua nini maana ya mwanaume.
Karibuni
Ilikuwaje ukaachwa sasa km unajua kupenda..??

Bila shaka u mdangaji tu, umeliwa weeh sasa hivi unajidai kutafuta mume..!
 
ushawahi kuona mjamzito wa miezi 6 anataka agongwe na gari sababu ya aliyempa ujauzito na yeye anachekelea?Nimenusurika kufa,nimedhihakiwa,nimetukanwa,nimepigwa nimepoteza mali mwanangu kapewa roho ya kukataliwa hata kabla hajaja duniani naimani mpaka sasa nipo hai ni kwa sababu ya bguvu ya Muumba aliyejuu
Daah pole sana..!! Inasikitisha sana, Life hili daah
 
Dada mkija kutafuta waume muwe mnakuja na ID za ukweli, ukija na majina ya uongo kila mwanaume atakuona ni mwongo na sio mwaminifu pia ni bora ungeweka mawasiliano yako hadharani, ni ngumu sana kuwasiliana pm
 
Dada mkija kutafuta waume muwe mnakuja na ID za ukweli, ukija na majina ya uongo kila mwanaume atakuona ni mwongo na sio mwaminifu pia ni bora ungeweka mawasiliano yako hadharani, ni ngumu sana kuwasiliana pm
Kaka mbona ww huna Id official?
Hii ni Jamii forum "where we dare to talk openly" tunaishi na kujadili kwa kujificha humu kuna maafisa wa usalama wa nchi,viongozi wengi wa serikali unataka aweke wazi yeye ni nani ashughulikiwe?
 
Mimi ni msomaji mzuri wa humu muda mrefu sana,najitokeza kwenu kutafuta mume ambae yuko tayari kwa ndoa na kupima ukimwi.
Wasifu.
Ni mama wa mtoto mmoja.
Naishi Dar es salaam.
Elimu yangu chuo kikuu japo kwa sasa sina ajira.
Umri wangu miaka 30.
Mkristo.
Mwanaume nimtafutae.
Kuanzia miaka 32.
Awe anajitambua na ajue nini maana ya mke na familia na amkubali na kumpenda mwanangu kama mwanae wa kumzaa
Awe tayari kupima ukimwi.
Nahitaji mwanaume aliekuwa serious muda wa kupotezeana sina asiwe na mahusiano yoyote anipende sana na kunilea kama yai maana mie najua kupenda sana na ninajua nini maana ya mwanaume.
Karibuni
Maelezo yako hayaeleweki. Asiwe na mahudiano yeyote maana yake nini?
 
Mimi nakupa kazi kwanza nikuangalie ukipata mshahara unakuwaje maana mnajulikana tabia zenyu mkishakuwa na kazi na vijimishahara, ukizingua unarudi kuendelea kuchati jf.....okay? Kama uko tayari njoo whatsapp tuongee 0758 52409
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom