masegese said
Member
- Mar 26, 2017
- 8
- 6
Nitumie namba yakoMimi ni binti na elimu ya degree natafuta mume
Vigezo
Elimu:masters na kuendelea
Umri:28-33
Kazi:uwe doctor au engineer utapewa kipaumbele kama ni mfanyabiashara uwe na uhakika wa kupata 1 million per month sitaki mwalimu wa aina yeyote yule
Dini:uwe mkristu pure madhehebu yoyote isipokuwa msabato sitaki
NOTE:
Kama haikuhusu pita kimya kimya kumbuka kupima HIV lazima kabla ya chochote pia uwe mrefu na handsome boy mweusi tii simtaki uwe maji ya kunde au mweupe kiasi sio mweupe kama papai.
Kama upo tayari nifate PM
na ndo mana nimefungua account mpya cause nilijua ujinga kama huu hautakosekana ila mwambie daby nampenda ila simuamini kabisa cause huyo ni most wanted humuDaby brother wangu huyu ana vigezo vyote na kazidi ila hapo kwenye kupima HIV ndio utakapomkosa hapo. atakupiga na ngumi juu
nishakuambia sitaki mtu yeyote dhidi ya mkristu kama ni waislamu ningepata wengi shida ni limitation mtu alojiwekea sitaki muslim na si kwamba mi ni mdiniNitumie namba yako
unadhani thamani ya mwanamke ipo kwenye chura tu basi unajidanganya angalia wanawake kama kina kylin hawana chura but wanathamani kuliko hao wenye chura wenu wanaoishia kucheza vigodoroMaringo yote haya afu unakuta mwanamke mwenyewe flat screen!
naonwa tena sana ila shida wanaoniona wote nahisi tuko value tofauti cause nishakuambia sitaki degree holder so hao siwahitaji na ndo wengi wanifatao
Kwa style hiyo hutopata mume. miaka itaenda mwisho wa siku utasema bora mwanaume yoyote sawa.ndo mana nimekuambia kama haikuhusu pita kimya naijua value yangu na si kwamba sina mtu ninaye na mwenye nia ya kunioa shida tuna value tofauti
acha nidharaulike but nimesema haja ya moyo wangu na sio kudanganya jukwaa ili nionekane decent girl wakati siko hivyoBinti kwanza inaonekana hata hiyo degree yako sio nzuri kwa maana kwa elimu yako kama unavyo dai na kuwamo kwako humu jamvini bado umeshindwa kujifunza hata namna ya kuweka tangazo kama msomi.
Tangazo lao hili linakufanya udharaulike zaidi.
Sasa kama unaye ina maana unatafuta wa pili ama ni vipi?ndo mana nimekuambia kama haikuhusu pita kimya naijua value yangu na si kwamba sina mtu ninaye na mwenye nia ya kunioa shida tuna value tofauti
ukiona yalaa ujue limekupataHalafu ukome na ukomae kutuhusisha walimu na huo upumbavu wako, hayawani Mkubwa wee!
Kumbe account ya zaman imekushinda hii mpya ndo utapata eenhhna ndo mana nimefungua account mpya cause nilijua ujinga kama huu hautakosekana ila mwambie daby nampenda ila simuamini kabisa cause huyo ni most wanted humu
May be, nisikukatishe tamaa usije ukajitia kamba bure... Ila kama unatafuta mwanaume wa Dar, utapata shida sana... Wanaume wa Dar wanapenda Churaaa!unadhani thamani ya mwanamke ipo kwenye chura tu basi unajidanganya angalia wanawake kama kina kylin hawana chura but wanathamani kuliko hao wenye chura wenu wanaoishia kucheza vigodoro