Natafuta mume

Natafuta mume

Mimi ni msichana mwenye umri wa Miaka 25. Nimeajiriwa na npo Dar. Natafuta mwanaume aliye serious kuwa na mimi.

Vigezo:

Awe muislam
Mkazi wa Dar.
Aliyejiajiri or aliyeajiriwa.
Umri 27_30.
Kabila lolote.

Kama haupo serious please dont come pm.
Umeshampata au bado tujuze basi ili tisijerundika ma pm kwako!
 
Mimi ni msichana mwenye umri wa Miaka 25. Nimeajiriwa na npo Dar. Natafuta mwanaume aliye serious kuwa na mimi.

Vigezo:

Awe muislam
Mkazi wa Dar.
Aliyejiajiri or aliyeajiriwa.
Umri 27_30.
Kabila lolote.

Kama haupo serious please dont come pm.
How many have you got...
 
Ukiwakuta njiani ukitongoza unatoswa ila huku mitandaoni wanatafuta daaa jaman
 
Iyo safi.....
Ngoja utatirejesha na mirejesho
 
Dini yangu: Love
Makazi: Tandale Dar (ila sio 'mwanaume wa dar'. mie wa kuja)
Kazi yangu: deiwaka kwenye Car wash
Kipato changu buku 5 per day
Umri wangu: 23
Kabila: Mtanzania by birth.
Elimu yangu: Form Foo ya BRN.

nadhira1 , njoo kwangu mie nikuwowe ata leo leo. In LIFE, I will treat you like a Princess. In BED, I will treat you like a Porn-Star.

Mie sio mtu ya maneno maneno. I make things happen.

-Kaveli-
Wewe sio mtu wa mchezomchezo
 
Mimi ni msichana mwenye umri wa Miaka 25. Nimeajiriwa na npo Dar. Natafuta mwanaume aliye serious kuwa na mimi.

Vigezo:

Awe muislam
Mkazi wa Dar.
Aliyejiajiri or aliyeajiriwa.
Umri 27_30.
Kabila lolote.

Kama haupo serious please dont come pm.
You are not serious, madam!
 
Mimi ni msichana mwenye umri wa Miaka 25. Nimeajiriwa na npo Dar. Natafuta mwanaume aliye serious kuwa na mimi.

Vigezo:

Awe muislam
Mkazi wa Dar.
Aliyejiajiri or aliyeajiriwa.
Umri 27_30.
Kabila lolote.

Kama haupo serious please dont come pm.

Achana na wanaume wa Dar mkuu utaishia kupigwa karobo bao!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom