yaani kuna vijana mna madharau hapa ila si lolote si chochote hata wake zenu wabaya manishi tu kwa pumzi za michepuko.huna raha na mke huna hamani mke ana utamu ila mnavoponda hapa utadhani maisha mmeyapatia kumbe hoi tu....wenzio wanatafutwa!.,we mzee kafie mbele!
....teh hee hee hee..gazeti lote nimekujibu wewe?yaani kuna vijana mna madharau hapa ila si lolote si chochote hata wake zenu wabaya manishi tu kwa pumzi za michepuko.huna raha na mke huna hamani mke ana utamu ila mnavoponda hapa utadhani maisha mmeyapatia kumbe hoi tu
29 yrs ur too old tafuta mtu akuzalishe tu yaishe,ulee mwanao single maza sio ulemavu.Nina miaka 29.. natafuta mume aliye serious na mwenye hofu na mungu ..awe mkristo umri kuanzia miaka 30-35....sipo kwaajili yakujaribiwa...kazi yoyote ili mradi iwe halali ..
aliye tayar ani pm...
kufa nitakufa na nitafia mbele kwani unadhani nitakufia wewe hapo? jifunze ustarabu bwana kwani ni sh ngapi?....teh hee hee hee..gazeti lote nimekujibu wewe?
..niondolee stress,nawe kafie mbele!
Kabila lako tafadhali.Nina miaka 29.. natafuta mume aliye serious na mwenye hofu na mungu ..awe mkristo umri kuanzia miaka 30-35....sipo kwaajili yakujaribiwa...kazi yoyote ili mradi iwe halali ..
aliye tayar ani pm...
.....nimesema nilichosema!...ni kweli 'wenzie' wanatafutwa;ni kweli 29 ni mzee!kufa nitakufa na nitafia mbele kwani unadhani nitakufia wewe hapo? jifunze ustarabu bwana kwani ni sh ngapi?