Natafuta mume wa kunioa

Habari zenu wana JF,

Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 24, natafuta mwanaume wa kunioa ambaye yuko serious tunaweza kuchat PM for more details.

Wasifu wangu kwa ufupi mimi nina umri wa miaka 24, graduate wa chuo kikuu, sina ajira na pia sina mtoto na wala sijawahi kuzaa.

Mwanaume awe hajazidi 45 years, asiwe na mke sijajiandaa kuwa second wife.

Kwa watakao kosoa na kukejeli naomba wajue kuwa mapenzi/mpenzi hana sehemu maalum ya kupatikana.

Thanks.
Post yako ingependeza kama ungeambatanisha na picha, pili kama upata mtoto utuambie hapa kuwa mimba uliwahi kutupa ngapi,
 
Habari zenu wana JF,

Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 24, natafuta mwanaume wa kunioa ambaye yuko serious tunaweza kuchat PM for more details.

Wasifu wangu kwa ufupi mimi nina umri wa miaka 24, graduate wa chuo kikuu, sina ajira na pia sina mtoto na wala sijawahi kuzaa.

Mwanaume awe hajazidi 45 years, asiwe na mke sijajiandaa kuwa second wife.

Kwa watakao kosoa na kukejeli naomba wajue kuwa mapenzi/mpenzi hana sehemu maalum ya kupatikana.

Thanks.
Duu nimependa hiyo nitafute kwa 0787245116

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wana JF,

Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 24, natafuta mwanaume wa kunioa ambaye yuko serious tunaweza kuchat PM for more details.

Wasifu wangu kwa ufupi mimi nina umri wa miaka 24, graduate wa chuo kikuu, sina ajira na pia sina mtoto na wala sijawahi kuzaa.

Mwanaume awe hajazidi 45 years, asiwe na mke sijajiandaa kuwa second wife.

Kwa watakao kosoa na kukejeli naomba wajue kuwa mapenzi/mpenzi hana sehemu maalum ya kupatikana.

Thanks.
Hujafikia umri wa kuolewa. Ukifikia hautatafuta mume. Utajikuta tuu umeolewa. Na usichague Sana maana Mungu ndiyo anakuletea mtu sahihi kwako kwa maisha yenu alowapangia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom