mhh dada unakazi ya kupembua pumba na mchele maana hapa sebuli ni hiv ss sijui huko chumban pm hali ikoje ila ukizichanga karata zako vyema utampata unayemtaka
Jaman swala la kupata mume/mke mitandaon mi napingana nalo, mpaka mtu kufikia hatua ya kutafuta mwenzi hapa ni kwamba kashatafuta sana kwao na kakosa. Hofu ni juu ya sababu za kukosa mwenz kutoka ktk mtaa wa mhusika watu tuna tabia tofaut, historia za kifamilia ama koo na tabia nyingine binafs ambazo zinaweza kuwa kikwazo kupata mwenz anaye kufahamu vyema. Hivyo humu nikuuziana mbuzi ktk gunia kuwen makin
Upo sawa kabisa mkuu.
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 28 mwenye hofu na mungu, ni mrefu wa wastani, maji ya kunde na mwajiriwa.
nafuta mwanaume age 28-40 mkristu anayependa dini na anaye jua nn maana ya mke na anaye jituma ktk kuleta maendeleo
ambaye yko tyr ani pm basi.
Jana ndiyo umeingia Jamvini,leo thread ya kwanza unataka mume,kwanini usisome kwanza sheria za mchezo? Una hofu na Mungu gani?
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 28 mwenye hofu na mungu, ni mrefu wa wastani, maji ya kunde na mwajiriwa.
nafuta mwanaume age 28-40 mkristu anayependa dini na anaye jua nn maana ya mke na anaye jituma ktk kuleta maendeleo
ambaye yko tyr ani pm basi.
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 28 mwenye hofu na mungu, ni mrefu wa wastani, maji ya kunde na mwajiriwa.
nafuta mwanaume age 28-40 mkristu anayependa dini na anaye jua nn maana ya mke na anaye jituma ktk kuleta maendeleo
ambaye yko tyr ani pm basi.
Mengine ni madume yanataka kupima tu upepo wa watu
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 28 mwenye hofu na mungu, ni mrefu wa wastani, maji ya kunde na mwajiriwa.
nafuta mwanaume age 28-40 mkristu anayependa dini na anaye jua nn maana ya mke na anaye jituma ktk kuleta maendeleo
ambaye yko tyr ani pm basi.
siyo kabadili id tu...?kasema m-pm please, afu huyu dada ana-sound serious kwa hiyo msianze mambo yenu yale, afu kumbuka ni mgeni maana hii ndio post yake ya kwanza