Natafuta mume wa kunioa tafadhali

Natafuta mume wa kunioa tafadhali

miss kayumba

New Member
Joined
Jan 13, 2014
Posts
1
Reaction score
11
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 28 mwenye hofu na mungu, ni mrefu wa wastani, maji ya kunde na mwajiriwa.
nafuta mwanaume age 28-40 mkristu anayependa dini na anaye jua nn maana ya mke na anaye jituma ktk kuleta maendeleo
ambaye yko tyr ani pm basi.
 
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 28 mwenye hofu na mungu, ni mrefu wa wastani, maji ya kunde na mwajiriwa.
nafuta mwanaume age 28-40 mkristu anayependa dini na anaye jua nn maana ya mke na anaye jituma ktk kuleta maendeleo
ambaye yko tyr ani pm basi

hebu fafanua vzr tafadhari! Kama elimu,kabila nk na pia elezea elimu yako na uzoefu wako kwenye mapenzi.hope ur not a virgin.all the best.ngoja watakuja tu
 
Mmmh! Umefikiria nini hadi kuamua kuja kutafuta mume mitandaoni? Afu,kwani hutongozwi? Vilevile miaka 28 sio msichana tena,bora hata ungejiita 'mdada',mwisho kabisa,weka picha.
 
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 28 mwenye hofu na mungu, ni mrefu wa wastani, maji ya kunde na mwajiriwa.
nafuta mwanaume age 28-40 mkristu anayependa dini na anaye jua nn maana ya mke na anaye jituma ktk kuleta maendeleo
ambaye yko tyr ani pm basi

Nijambo jema tuma mawasiriano yako kwenye ukurasa pekee, kisha nikipata nitakushauri jambo lakufanya
 
Jana ndiyo umeingia Jamvini,leo thread ya kwanza unataka mume,kwanini usisome kwanza sheria za mchezo? Una hofu na Mungu gani?
 
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 28 mwenye hofu na mungu, ni mrefu wa wastani, maji ya kunde na mwajiriwa.
nafuta mwanaume age 28-40 mkristu anayependa dini na anaye jua nn maana ya mke na anaye jituma ktk kuleta maendeleo
ambaye yko tyr ani pm basi

Nam mama nipo hapa
 
Mdada, ingependeza sana kama ungeolewa na mwanaume mwenye experience na ndoa. Ungekuwa muislam ningekushauri uolewe na mwanaume mwenye mke ili mke wa pili. Unless otherwise jiandae kwa stress zaidi ya ulizo nazo.
 
Mdada, ingependeza sana kama ungeolewa na mwanaume mwenye experience na ndoa. Ungekuwa muislam ningekushauri uolewe na mwanaume mwenye mke ili mke wa pili. Unless otherwise jiandae kwa stress zaidi ya ulizo nazo.

hapo kwenye red mimi nilijua ni kwenye kuajiriwa tu,kumbe hata kwenye ndoa?
kweli sisi tusio na uzoefu tuna shida.
 
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 28 mwenye hofu na mungu, ni mrefu wa wastani, maji ya kunde na mwajiriwa.
nafuta mwanaume age 28-40 mkristu anayependa dini na anaye jua nn maana ya mke na anaye jituma ktk kuleta maendeleo
ambaye yko tyr ani pm basi

Please tuwasiliane kwa namba 0656353925 tutaongea zaidi.
 

Attachments

  • 1389725621989.jpg
    1389725621989.jpg
    54.9 KB · Views: 942
Mbona amekimbia haji kujibu hoja,tutaomba muongozo wa spika!!:flame:
 
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 28 mwenye hofu na mungu, ni mrefu wa wastani, maji ya kunde na mwajiriwa.
nafuta mwanaume age 28-40 mkristu anayependa dini na anaye jua nn maana ya mke na anaye jituma ktk kuleta maendeleo
ambaye yko tyr ani pm basi

njoo kwangu utakacho ntakupaaaaa
aaaaaa... utanipa!?
Njoo kwangu utakacho ntakupaaaaa x 3
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom