Natafuta mume wa kunioa miaka 27-33

Natafuta mume wa kunioa miaka 27-33

Da wenye certificate wahesabu imekula kwao,,ndoa za miaka hii bana,mwanaume mwenye digrii kumuoa binti form 4,la 7,diploma sawa lakini binti akiwa na digrii mpaka mtu awe na masters ama degree,tutaona mwisho wake hayaaaaaaaaa

sipati picha mwanamke mwenye PhD, sijui ataolewa na nani.?
 
Sasa kama mtu anayo hiyo Degree lakini hana Kazi?
Weka na sifa zako tuzisome
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom