- Thread starter
- #81
Aaah kumbe mtoto ndio CNA!Mtoto?
Aaah kumbe mtoto ndio CNA!Mtoto?
Basi utapata inshallah 🙏Aaah kumbe mtoto ndio CNA!
Hahaha nicheke Mie. Huyo mdoli sh.ngapi?? Mdoli ni mdoli na mtu ni mtu bhan!!Unatafuta mume wakati sasa hivi ndoto za wanaume karibu ya wote ni kununua mdoli wa Elon Musk, nani anataka stress? Mdoli hana maradhi ya maambukizi, haombi hela kila kukicha, si mbea na anapokea dushe bila kupiga mayowe, hanuki makwapa na sehemu za siri, hajichubui, na harogi.
Natamani nikuone live face to face.... Nimekupenda bureeeedini ya nini dunia ya leo? We una asili ya ubaguzi, kwanini usiwatafute msikitini? Majaliwa muislamu mke wake Mary, hamjifunzi tu kutoka kwa wakubwa?
Sipo tayari nataka niwe wa kwanzaUpo tayari kuwa mke wa nne?
Kama ndio njoo PM tufunge uzi rasmi.
HapanaJe ukiwa wapili utakubali?
Mi sipendi sasaLakini dini ya haqi umeruhusu mbona...[emoji849]
Kumbe na hata huyu na mkeKaka mrogi hutaki kuongeza mke kwani?
Kuna sister jana kwa Mkapa kajiongeza kampa namba Mwarabu. Jamaa anadharau sana yaani wamewachapi uwanja wa Mkapa halafu wanawachapa tena kwenye 6*6 🙁🙁🙁
Umeweka vigezo vyako tu ila na mimi ninavigezo nyangu dada, je na ww Bikra?😀Habarini wana JF,
Mimi natafuta mume wa kuishi naye;
~ Mimi nina miaka 30
~ Mnyamwezi
~ Nina elimu ya shahada katika sayansi ya jamii
Natafuta mme mwenye vigezo vifuauatavyo;
1. Awe na miaka 38 na kuendelea
2. Awe na shughuli maalumu ya kumpatia kipato halali
3. Awe kabila lolote
4. Awe na elimu angalau kidato cha nne au ajue kusoma na kuandika.
5. Dini - muislamu
Kama atataka taarifa zaidi a
Ndio ni bikraK
Umeweka vigezo vyako tu ila na mimi ninavigezo nyangu dada, je na ww Bikra?[emoji3]
Ana mke huyu😂😂😂Kumbe na hata huyu na mke
Hizo imani zako tu uchawi ni maamuzi ya mtu kila kabila wachawi wapo na wacha Mungu wapo!!Hakuna wanawake wahuni kama Wanyamwezi, hawa ni jamii ya Wanyiramba na kwa uchawi hawajambo.