asnat onyango
Member
- Jun 14, 2014
- 6
- 2
mm mwanamke nina miaka 31, natafuta mume wakunioa awe na miaka 33 nakuendelea nina mtoto mmoja nahitaj mkristo awe na kaz ya kueleweka mm ukiniona hauwez kuamin mpaka nikuambie mwenyewe sijaanza kutumi dawa ma2c no, sitaki masihara kwa alie tayari 0654872662 , awe na vina vikali usipime
Haya tumekusikia nash mc.
Vina Vikali Usipime= VVU
mm mwanamke nina miaka 31, natafuta mume wakunioa awe na miaka 33 nakuendelea nina mtoto mmoja nahitaj mkristo awe na kaz ya kueleweka mm ukiniona hauwez kuamin mpaka nikuambie mwenyewe sijaanza kutumi dawa ma2c no, sitaki masihara kwa alie tayari 0654872662 , awe na vina vikali usipime
Haya tumekusikia nash mc.
Vina Vikali Usipime= VVU
Ukiwa HIV positive sio Lazima utafute mwenza positive pia...muhimu upate mwenza anaejua uko positive..
halafu mnafanyaje ile makitu?Ukiwa HIV positive sio Lazima utafute mwenza positive pia...muhimu upate mwenza anaejua uko positive..
Khaaaa tunge-fail wengi!
atakwambia eti condom,WHAT?!!.umegusia kitu kinachonichanganyaga kichwa,kama mmoja ni +ve na mwingine -ve,wanakuwa wanafanyaje mapenzi bila kuambukizina hasa kwa wanandoa
nashukuru sana kwa ushauri wenu na mungu awaariki