Natafuta Mume mwema

Natafuta Mume mwema

kinyanshanani

Member
Joined
Jul 7, 2015
Posts
7
Reaction score
1
Mimi ni binti wa miaka32 Nina mtoto1 wa miaka5 nimeokoka nampenda yesu umefika wakati nahitaji mwenzi wangu wa maisha awe na umri34-42 awe mwenye mapenz ya kweli atakaenipenda km nilivyo mtafutaji wa maisha km Mimi tuwasiliane kwa email karungimiteni@yahoo.com plz naomba uwe serous na ni muhitaji kweli
 
Invisible pita huku,hii mutu nachafua jukwaa,kapost post tatu zenye the same contents,futeni ibaki moja!
 
Last edited by a moderator:
Mimi ni binti wa miaka32 Nina mtoto1 wa miaka5 nimeokoka nampenda yesu umefika wakati nahitaji mwenzi wangu wa maisha awe na umri34-42 awe mwenye mapenz ya kweli atakaenipenda km nilivyo mtafutaji wa maisha km Mimi tuwasiliane kwa email karungimiteni@yahoo.com plz naomba uwe serous na ni muhitaji kweli

Sikuhukumu dada yangu ila kwa muono wangu kuna kitu hakiko sawa kwa jinsi unavyotafuta mume. Kama kweli umeokoka, unampenda Yesu na unamtegemea yeye and you mean it, huwezi kuja kutafuta mchumba mtandaoni/JF. Rudi kwenye biblia angalia/soma vzr uone mume anatafutwaje kibiblia! Unless uwe umetumia wokovu kama fashen tu ndo utatumia style yako uliyotumia.
 
utapata ila kuwa makini, kuwa bingwa ku kukaangiza ila usionje mpaka kwa utakaemwona anafaa
 
We Huoni tatizo hapo bibie. Mi siwezi kufahamu mazingira ila nnachojua kuna jamaa kala mzigo afu kasepa.

Jamani kwani wote si tunaachikaga? So ukishaachwa huruhusiwi kupenda/kupendwa tena?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom