Natafuta Mume mkristo

Natafuta Mume mkristo

Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 30,elimu chuo kikuu,nimeajiriwa na nina mtoto mmoja.

Natafuta mume mwenye hofu na Mungu,upendo wa dhati,elimu chuo kikuu,awe ameajiriwa au kujiajiri,mrefu futi 5.9 mpaka 6.,mkristo.

Tuwasiliane kupitia PM.

Call here 0762991229. call right now.
 
Masharti mengi sana. Jaribu kupunguza maana na wewe kuna vitu unakosa. Mfano suala la umri kwa mwanamke hiyo ni mingi kwa mtazamo Wangu na suala la kuwa na mtoto tamaduni nyingi zinabana. Sasa cha msingi jaribu kuchek kama unaweza kupunguza kidogo masharti yako maana uko specific utafikir una assess watakao qualify kwenda jkt. Mtazamo tu. Kilalheri
 
Masharti mengi sana. Jaribu kupunguza maana na wewe kuna vitu unakosa. Mfano suala la umri kwa mwanamke hiyo ni mingi kwa mtazamo Wangu na suala la kuwa na mtoto tamaduni nyingi zinabana. Sasa cha msingi jaribu kuchek kama unaweza kupunguza kidogo masharti yako maana uko specific utafikir una assess watakao qualify kwenda jkt. Mtazamo tu. Kilalheri
ni kweli.Huo urefu anaotaka kwa sisi wenye 5'8 imekula kwetu
 
Uko too selective my dear!!

Mambo ya kupangiana mpaka kimo as if unaandikisha watu wa kwenda jeshini.

Kila la kheri hata hivyo.
 
aa chaurembo utaua bend...?!!
mi ninacertificate tuuu....?!!!
 
Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 30,elimu chuo kikuu,nimeajiriwa na nina mtoto mmoja.

Natafuta mume mwenye hofu na Mungu,upendo wa dhati,elimu chuo kikuu,awe ameajiriwa au kujiajiri,mrefu futi 5.9 mpaka 6.,mkristo.

Tuwasiliane kupitia PM.
hapo kwenye nyekundu ndo shida
 
Masharti mengi sana. Jaribu kupunguza maana na wewe kuna vitu unakosa. Mfano suala la umri kwa mwanamke hiyo ni mingi kwa mtazamo Wangu na suala la kuwa na mtoto tamaduni nyingi zinabana. Sasa cha msingi jaribu kuchek kama unaweza kupunguza kidogo masharti yako maana uko specific utafikir una assess watakao qualify kwenda jkt. Mtazamo tu. Kilalheri

Maelewano yapo we nenda pm!
 
umeenda vzr, lkn kuweka elimu kama kigezo ni kosa, unajua sifa za mwanamume anaestahl kuwa mume? nipm nikupe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom