Natafuta mume, awe HIV+

Natafuta mume, awe HIV+

Unalala nae getto jicho moja umefunga lingine unaacha wazi, wakati huo ufunguo umeficha mbali sana bila ya hivyo asubuhi utapiga uwiiii kubwa sana.
Hebu piga iyo uwiiii apa niskie
 
Hivi bado mmeshikiliwa akili mnaamini kuwa ukimwi upo??
Na mnameza hayo mashudu amkeni waafica HIV is a hoax, kumeza mashudu kunawapeleka makaburini mapema sana.

Mjadala kuhusu HIV ulishaongelewa kitambo humu na hakuna hata daktari mmoja alieleta scientific evidence hata moja bali imebakia imani tu na kurithishana uongo tuliomezeshwa na mabeberu kupitia mainstream, amkeni😎
 
Hivi bado mmeshikiliwa akili mnaamini kuwa ukimwi upo??
Na mnameza hayo mashudu amkeni waafica HIV is a hoax, kumeza mashudu kunawapeleka makaburini mapema sana.

Mjadala kuhusu HIV ulishaongelewa kitambo humu na hakuna hata daktari mmoja alieleta scientific evidence hata moja bali imebakia imani tu na kurithishana uongo tuliomezeshwa na mabeberu kupitia mainstream, amkeni
Acha tufe nazo kwa kweli dawa siez acha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom