Natafuta mume wa kunioa, awe mkristo
Elimu: Diploma na kuendelea
Kazi: Awe na shuguli yoyote halali ya kumuingizia kipato,
Mwonekano: Asiwe mfupi sana na asiwe mnene sana.
Sehemu: Awe anaishi Dar, Moro, Pwani, Tanga, Moshi & Arusha
Umri: 28-32
WASIFU WANGU
DINI: Mkristo
Umri: 25
Kazi: Muajiriwa serikalini
Mkoa: Tanga
Muonekano: Mwembamba maji ya kunde urefu cm160
Note: Waalimu wa primary hawaruhusiwi
Aliye tayari na mwenye sifa ani PM
Elimu: Diploma na kuendelea
Kazi: Awe na shuguli yoyote halali ya kumuingizia kipato,
Mwonekano: Asiwe mfupi sana na asiwe mnene sana.
Sehemu: Awe anaishi Dar, Moro, Pwani, Tanga, Moshi & Arusha
Umri: 28-32
WASIFU WANGU
DINI: Mkristo
Umri: 25
Kazi: Muajiriwa serikalini
Mkoa: Tanga
Muonekano: Mwembamba maji ya kunde urefu cm160
Note: Waalimu wa primary hawaruhusiwi
Aliye tayari na mwenye sifa ani PM