[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hivi unamini kuwa kuna watu hata keyboard hawaijui, mouse hawaijui ctrl katika bao bonye haijui sasa hio alternative mail ataijua je akiulizwa code zimetumwa kule unadhani.
Kwa msaada mwambie akupe email yake kule nyuma ya pazia au PM kisha
Fanya kama kumuuliza kila kitu then baadae mpe PWD zake
Kwel cjui alternative email
ulijaza namba ya cm halisi wakati unafungua hio email?yahoo email
wala maswali yale uliojaza hukumbuk na majibu yake?ckujaza
Naikumbuka[/QU
ukiona inakushinda nenda internet cafe watakusaidia
ha ha haaaaa hata wakila wanasema tumekulagaWahehe bwana