Natafuta mtu wa IT anaejua code vizuri anitengenezee online application

Natafuta mtu wa IT anaejua code vizuri anitengenezee online application

kigo akya

Member
Joined
Jan 27, 2015
Posts
42
Reaction score
3
Jaman natafuta mtu wa IT anaejua code vizuri anitengenezee online application,kma mtu yuko tayari anipe contact zake tuwasiliane
 
Tuna jukwaa letu humu. We unakuja kutangaza hapa?

Hivi unafikiri tunaokotwa okotwa tu?
Mkuu kwani wewe kwenye kozi yako haukusoma customer care, communication skills even business foundamental, ukaamua kukomaa na code tu? Kwani unafikiri Kila member anajua humu Kuna jukwaa la Technology? Kuna sehemu huyu muungwana kaandika anataka kumuokota IT kwenye uzi wake huu? Elimu itusaidie katika nyanja zote.
 
Mkuu kwani wewe kwenye kozi yako haukusoma customer care, communication skills even business foundamental, ukaamua kukomaa na code tu? Kwani unafikiri Kila member anajua humu Kuna jukwaa la Technology? Kuna sehemu huyu muungwana kaandika anataka kumuokota IT kwenye uzi wake huu? Elimu itusaidie katika nyanja zote.
Kila wiki tunakuwa approached na watu kibao wanaodai wana idea sisi tuwadevelopie. Wengi wao huwa hawana capital ya kufanya hivyo. We have developed a sense of smell pale anapokuja mtu wa aina hiyo. Huwezi kuelewa.
 
Kila wiki tunakuwa approached na watu kibao wanaodai wana idea sisi tuwadevelopie. Wengi wao huwa hawana capital ya kufanya hivyo. We have developed a sense of smell pale anapokuja mtu wa aina hiyo. Huwezi kuelewa.

Si kwa ubaya, as an expert you need to learn how to communicate and listening others without ignore them, Do not take out of his questions unless you advise in positive way. Kulikuwa na haja gani kutumia maneno hayo kwenye bold?
 
Si kwa ubaya, as an expert you need to learn how to communicate and listening others without ignore them, Do not take out of his questions unless you advise in positive way. Kulikuwa na haja gani kutumia maneno hayo kwenye bold?

Nasisitiza, huwezi kuelewa.
Until you have been approached numerous times by such people, at times even met them, and spent your time consulting for them, huwezi kuelewa.
 
Nasisitiza, huwezi kuelewa.
Until you have been approached numerous times by such people, at times even met them, and spent your time consulting for them, huwezi kuelewa.
Nikubali usemi wako "siwezi kuelewa" japo haimaanishi sijakuelewa ila nimekubali kuonekana siwezi kuelewa kwenye upeo wa uelewa wako. Asante.
 
Thanks you
Si kwa ubaya, as an expert you need to learn how to communicate and listening others without ignore them, Do not take out of his questions unless you advise in positive way. Kulikuwa na haja gani kutumia maneno hayo kwenye bold?
 
Back
Top Bottom