ELIFURAHA MAKOMBE
Senior Member
- Dec 22, 2012
- 176
- 22
Habari wanajf,natumaini mu wazma wa afya mimi ni mwanaume mwenye miaka 26 npo dar,ni mrefu wa maji ya kunde,elimu ya chuo,mkristo,natafuta msichana wakuanza nae relatioship/mahusiano awe mrefu kiasi,mweupe,na mwenye kukubali masharti ya dini yangu,awe na elimu ya form four hadi chuo.Ani pm,au anicheki through 0715 406010 through whatsaap,fb.Ninapenda kuchati so ua welcome.
Ninaanza na mungu na tutamaliza na mungu.Ameni
Ninaanza na mungu na tutamaliza na mungu.Ameni