Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,122
- 52,863
ngoja ikamilikeWanajenga standard gauge Masaa machache tu
ngoja ikamilikeWanajenga standard gauge Masaa machache tu
Miaka 34 una watoto wangapi?Mimi ni kijana wa miaka 34 natafuta msichana wa kuoa niko Kigoma sifa awe na nidhamu na mcha Mungu na awe maji ya kunde au mweupe awe na nyama nyama na siyo kimbau mbau..... Aje in box.....
Mimi sijawaona kwa kweli hata kanisani sijawaonaUtafit unahitajika ili kuweza kubaini ni kwann cku izi kuna wimbi kubwa la watu kutafta wachumba mitandaoni......
Ivi kweli uko mtaani hujawaona hujaona mtu anaekufaa.....
Ulipo kua unasoma hukuona chaguo lako?
Kwenye kituo cha kazi hujaona anaefaa kuwa mwandani wk?
Au ni kushindwa kutongoza uso kwa uso??
Kweli una watoto una watoto wangapi ? Maana umri kama wako wengi wana mtoto angalau 1. Wewe je una wangapi?Ha ha ha haaaa
Isije ikawa ako na kibanda chake cha mishikaki dada zetu kuweni makini aiseee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mwenye nyama nyama unataka kumuuza buchani nini?í ½í¸í ½í¸í ½í¸