Natafuta msichana wa kuoa...

Natafuta msichana wa kuoa...

Weweeeee ukimwi ni Nouma achana na maneno ya ushauri nasaha ukimwi =Kifo
Acha uoga wewe kifo kipo tu zipo ajali nk tena huyo ndo anatulia kweli kweli au katafute kahaba umtulize mkuu kuliko hao unaowawazia PASUA KICHWA TENA JF duuuh
 
Acha uoga wewe kifo kipo tu zipo ajali nk tena huyo ndo anatulia kweli kweli au katafute kahaba umtulize mkuu kuliko hao unaowawazia PASUA KICHWA TENA JF duuuh
Ukimwi ni nouma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom