Natafuta msichana (mchumba) miaka 18-23

Natafuta msichana (mchumba) miaka 18-23

junior91

New Member
Joined
Sep 21, 2015
Posts
4
Reaction score
0
Hi mimi ni kijana wa miaka 24 natafuta msichana (mchumba) ambaye nitaweza kudate nae na pia awe serious sitaki pasua vichwa kbsa maana nishaumizwa vya kutosha. Napendelea msichana mwembamba sio mrefu sana, pia awe tu mstaarabu. Awe na miaka kati ya 18-23. Ukiwa unajua unavigezo hivyo then check with me on Direct Message.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom