father-xmas
JF-Expert Member
- Mar 23, 2010
- 835
- 643
xmas inakaribia...!
nahitaji mrembo awe maza-xmas wangu.....!anisaidie kugawa zawadi siku ile ya Noel...!then tukishamaliza kugawa zawadi tunarudi home nampa na yeye ZAWADI yake SPECIAL.....!,kumbuka father-xmas sitaki kula hii sikukuu kiupweke.....!,nahitaji maza-xmas....!
sifa za maza-xmas ni awe na mchanganyiko wa tabia za FIRSTLADY1 ,WOS na za QUEENKAMI....!
umri its not a big deal mradi tu ni dada single.....!awe msafi na anayevutia kimwili,kimoyo na ubongo.......!
asiwe muongeaji kama cherehani as father-xmas ni mtu mpole asiye na maneno mengi...!
kwa mrembo yeyote atakayekua intrested naomba aniandikie pm kwa maelezo zaidi....!
father-xmas ni mtu mzima mwenye kujiheshimu,mstaarabu na asiye na makuu.
xmas inakaribia...!
nahitaji mrembo awe maza-xmas wangu.....!anisaidie kugawa zawadi siku ile ya Noel...!then tukishamaliza kugawa zawadi tunarudi home nampa na yeye ZAWADI yake SPECIAL.....!,kumbuka father-xmas sitaki kula hii sikukuu kiupweke.....!,nahitaji maza-xmas....!
sifa za maza-xmas ni awe na mchanganyiko wa tabia za FIRSTLADY1 ,WOS na za QUEENKAMI....!
umri its not a big deal mradi tu ni dada single.....!awe msafi na anayevutia kimwili,kimoyo na ubongo.......!
asiwe muongeaji kama cherehani as father-xmas ni mtu mpole asiye na maneno mengi...!
kwa mrembo yeyote atakayekua intrested naomba aniandikie pm kwa maelezo zaidi....!
father-xmas ni mtu mzima mwenye kujiheshimu,mstaarabu na asiye na makuu.
xmas inakaribia...!
nahitaji mrembo awe maza-xmas wangu.....!anisaidie kugawa zawadi siku ile ya Noel...!then tukishamaliza kugawa zawadi tunarudi home nampa na yeye ZAWADI yake SPECIAL.....!,kumbuka father-xmas sitaki kula hii sikukuu kiupweke.....!,nahitaji maza-xmas....!
sifa za maza-xmas ni awe na mchanganyiko wa tabia za FIRSTLADY1 ,WOS na za QUEENKAMI....!
umri its not a big deal mradi tu ni dada single.....!awe msafi na anayevutia kimwili,kimoyo na ubongo.......!
asiwe muongeaji kama cherehani as father-xmas ni mtu mpole asiye na maneno mengi...!
kwa mrembo yeyote atakayekua intrested naomba aniandikie pm kwa maelezo zaidi....!
father-xmas ni mtu mzima mwenye kujiheshimu,mstaarabu na asiye na makuu.
mabachelor wa jf bwana mnaniachaga hoi.hivi kwani ukiandika tu jamani eeh natafuta mwenza niko single kitaharibika nini.
haya father check inbox yako labda naweza kusaidia kugawa hizo zawadi.
View attachment 17421
Vipi huyu anakufaa?
Wewe mzushi sana jana nimesubiri PM hola anakuzuga mwaegomabachelor wa jf bwana mnaniachaga hoi.hivi kwani ukiandika tu jamani eeh natafuta mwenza niko single kitaharibika nini.
haya father check inbox yako labda naweza kusaidia kugawa hizo zawadi.
father -Xmas naona kama unatafuta mke hizo sifa sio za mgawa zawadi:A S 109:
Chagua kati ya hawa wanao sijui cheza au sutana?xmas inakaribia...!
nahitaji mrembo awe maza-xmas wangu.....!anisaidie kugawa zawadi siku ile ya Noel...!then tukishamaliza kugawa zawadi tunarudi home nampa na yeye ZAWADI yake SPECIAL.....!,kumbuka father-xmas sitaki kula hii sikukuu kiupweke.....!,nahitaji maza-xmas....!
sifa za maza-xmas ni awe na mchanganyiko wa tabia za FIRSTLADY1 ,WOS na za QUEENKAMI....!
umri its not a big deal mradi tu ni dada single.....!awe msafi na anayevutia kimwili,kimoyo na ubongo.......!
asiwe muongeaji kama cherehani as father-xmas ni mtu mpole asiye na maneno mengi...!
kwa mrembo yeyote atakayekua intrested naomba aniandikie pm kwa maelezo zaidi....!
father-xmas ni mtu mzima mwenye kujiheshimu,mstaarabu na asiye na makuu.
kwa gia hii gari yako haitopanda mlima, badili haraka sana mkulu
Father Christmas. Hii haijakaa kugawa zawadi bwana sifa zote hizi mmmhhh we sema unataka mke bwana usitupinge changa la macho. ni PM mie niko tayari
kazi ipo haya mnatafutwa jamani,msije mkawa nyie ndo zawadi yenyewe kwa faza xmas
Chagua kati ya hawa wanao sijui cheza au sutana?
kumbe kunainterview mbona hujasema wanaojitosa wajue hilo mkuu!bahati mbaya hawa sio type ya father-xmas............!
kumbe kunainterview mbona hujasema wanaojitosa wajue hilo mkuu!