natafuta mrembo wa kunisaidia kugawa zawadi za xmas

father-xmas

JF-Expert Member
Mar 23, 2010
788
615
xmas inakaribia...!
nahitaji mrembo awe maza-xmas wangu.....!anisaidie kugawa zawadi siku ile ya Noel...!then tukishamaliza kugawa zawadi tunarudi home nampa na yeye ZAWADI yake SPECIAL.....!,kumbuka father-xmas sitaki kula hii sikukuu kiupweke.....!,nahitaji maza-xmas....!
sifa za maza-xmas ni awe na mchanganyiko wa tabia za FIRSTLADY1 ,WOS na za QUEENKAMI....!
umri its not a big deal mradi tu ni dada single.....!awe msafi na anayevutia kimwili,kimoyo na ubongo.......!
asiwe muongeaji kama cherehani as father-xmas ni mtu mpole asiye na maneno mengi...!
kwa mrembo yeyote atakayekua intrested naomba aniandikie pm kwa maelezo zaidi....!
father-xmas ni mtu mzima mwenye kujiheshimu,mstaarabu na asiye na makuu.
 
xmas inakaribia...!
nahitaji mrembo awe maza-xmas wangu.....!anisaidie kugawa zawadi siku ile ya Noel...!then tukishamaliza kugawa zawadi tunarudi home nampa na yeye ZAWADI yake SPECIAL.....!,kumbuka father-xmas sitaki kula hii sikukuu kiupweke.....!,nahitaji maza-xmas....!
sifa za maza-xmas ni awe na mchanganyiko wa tabia za FIRSTLADY1 ,WOS na za QUEENKAMI....!
umri its not a big deal mradi tu ni dada single.....!awe msafi na anayevutia kimwili,kimoyo na ubongo.......!
asiwe muongeaji kama cherehani as father-xmas ni mtu mpole asiye na maneno mengi...!
kwa mrembo yeyote atakayekua intrested naomba aniandikie pm kwa maelezo zaidi....!
father-xmas ni mtu mzima mwenye kujiheshimu,mstaarabu na asiye na makuu.

kibonde.jpg
Vipi huyu anakufaa?
 
mabachelor wa jf bwana mnaniachaga hoi.hivi kwani ukiandika tu jamani eeh natafuta mwenza niko single kitaharibika nini.
haya father check inbox yako labda naweza kusaidia kugawa hizo zawadi.
 
mhhh muheshimiwa unamasharti mingi sana .............
je hii ni kazi ya kujitolea au tunalipwa????
kwanini lazima awe single???
mi nilidhani kama unaenda kugawa zawadi kwa watoto umtafute mama mwenye mtoto/watoto ndo wanaelewa vizuri hiyo duty....
au unatafuta mtu ambae atakuwa zaidi ya mother x-mass???
samahani kwa maswali mengi.......
 
xmas inakaribia...!
nahitaji mrembo awe maza-xmas wangu.....!anisaidie kugawa zawadi siku ile ya Noel...!then tukishamaliza kugawa zawadi tunarudi home nampa na yeye ZAWADI yake SPECIAL.....!,kumbuka father-xmas sitaki kula hii sikukuu kiupweke.....!,nahitaji maza-xmas....!
sifa za maza-xmas ni awe na mchanganyiko wa tabia za FIRSTLADY1 ,WOS na za QUEENKAMI....!
umri its not a big deal mradi tu ni dada single.....!awe msafi na anayevutia kimwili,kimoyo na ubongo.......!
asiwe muongeaji kama cherehani as father-xmas ni mtu mpole asiye na maneno mengi...!
kwa mrembo yeyote atakayekua intrested naomba aniandikie pm kwa maelezo zaidi....!
father-xmas ni mtu mzima mwenye kujiheshimu,mstaarabu na asiye na makuu.

father -Xmas naona kama unatafuta mke hizo sifa sio za mgawa zawadi:A S 109:
 
xmas inakaribia...!
nahitaji mrembo awe maza-xmas wangu.....!anisaidie kugawa zawadi siku ile ya Noel...!then tukishamaliza kugawa zawadi tunarudi home nampa na yeye ZAWADI yake SPECIAL.....!,kumbuka father-xmas sitaki kula hii sikukuu kiupweke.....!,nahitaji maza-xmas....!
sifa za maza-xmas ni awe na mchanganyiko wa tabia za FIRSTLADY1 ,WOS na za QUEENKAMI....!
umri its not a big deal mradi tu ni dada single.....!awe msafi na anayevutia kimwili,kimoyo na ubongo.......!
asiwe muongeaji kama cherehani as father-xmas ni mtu mpole asiye na maneno mengi...!
kwa mrembo yeyote atakayekua intrested naomba aniandikie pm kwa maelezo zaidi....!
father-xmas ni mtu mzima mwenye kujiheshimu,mstaarabu na asiye na makuu.

kwa gia hii gari yako haitopanda mlima, badili haraka sana mkulu
 
Father Christmas. Hii haijakaa kugawa zawadi bwana sifa zote hizi mmmhhh we sema unataka mke bwana usitupinge changa la macho. ni PM mie niko tayari
 
kazi ipo haya mnatafutwa jamani,msije mkawa nyie ndo zawadi yenyewe kwa faza xmas
 
mabachelor wa jf bwana mnaniachaga hoi.hivi kwani ukiandika tu jamani eeh natafuta mwenza niko single kitaharibika nini.
haya father check inbox yako labda naweza kusaidia kugawa hizo zawadi.

cheusi acha utundu...........!
 
xmas inakaribia...!
nahitaji mrembo awe maza-xmas wangu.....!anisaidie kugawa zawadi siku ile ya Noel...!then tukishamaliza kugawa zawadi tunarudi home nampa na yeye ZAWADI yake SPECIAL.....!,kumbuka father-xmas sitaki kula hii sikukuu kiupweke.....!,nahitaji maza-xmas....!
sifa za maza-xmas ni awe na mchanganyiko wa tabia za FIRSTLADY1 ,WOS na za QUEENKAMI....!
umri its not a big deal mradi tu ni dada single.....!awe msafi na anayevutia kimwili,kimoyo na ubongo.......!
asiwe muongeaji kama cherehani as father-xmas ni mtu mpole asiye na maneno mengi...!
kwa mrembo yeyote atakayekua intrested naomba aniandikie pm kwa maelezo zaidi....!
father-xmas ni mtu mzima mwenye kujiheshimu,mstaarabu na asiye na makuu.
Chagua kati ya hawa wanao sijui cheza au sutana?

7.JPG
 
kazi ipo haya mnatafutwa jamani,msije mkawa nyie ndo zawadi yenyewe kwa faza xmas

pearl acha hizo...........!
kwani kuna ubaya gani nikijipatia mrembo mwema kama zawadi kwangu.........!
hata wewe si ni zawadi kwa mzee au sio.................?!
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom