father-xmas
JF-Expert Member
- Mar 23, 2010
- 835
- 642
xmas inakaribia...!
nahitaji mrembo awe maza-xmas wangu.....!anisaidie kugawa zawadi siku ile ya Noel...!then tukishamaliza kugawa zawadi tunarudi home nampa na yeye ZAWADI yake SPECIAL.....!,kumbuka father-xmas sitaki kula hii sikukuu kiupweke.....!,nahitaji maza-xmas....!
sifa za maza-xmas ni awe na mchanganyiko wa tabia za FIRSTLADY1 ,WOS na za QUEENKAMI....!
umri its not a big deal mradi tu ni dada single.....!awe msafi na anayevutia kimwili,kimoyo na ubongo.......!
asiwe muongeaji kama cherehani as father-xmas ni mtu mpole asiye na maneno mengi...!
kwa mrembo yeyote atakayekua intrested naomba aniandikie pm kwa maelezo zaidi....!
father-xmas ni mtu mzima mwenye kujiheshimu,mstaarabu na asiye na makuu.
nahitaji mrembo awe maza-xmas wangu.....!anisaidie kugawa zawadi siku ile ya Noel...!then tukishamaliza kugawa zawadi tunarudi home nampa na yeye ZAWADI yake SPECIAL.....!,kumbuka father-xmas sitaki kula hii sikukuu kiupweke.....!,nahitaji maza-xmas....!
sifa za maza-xmas ni awe na mchanganyiko wa tabia za FIRSTLADY1 ,WOS na za QUEENKAMI....!
umri its not a big deal mradi tu ni dada single.....!awe msafi na anayevutia kimwili,kimoyo na ubongo.......!
asiwe muongeaji kama cherehani as father-xmas ni mtu mpole asiye na maneno mengi...!
kwa mrembo yeyote atakayekua intrested naomba aniandikie pm kwa maelezo zaidi....!
father-xmas ni mtu mzima mwenye kujiheshimu,mstaarabu na asiye na makuu.