kingereza ULIMSOMESHA?
kwani mnaishi balozi za marekani..
We buyu kweli, si umtafute UK huko au US! Au ungeandika kwa kiingereza basi.
Sent from my guitar using JamiiForums
kingereza ULIMSOMESHA?
kwani mnaishi balozi za marekani..
mimi kanivunja mbavu eti awe tayari kuanza mapenz fasta.
Daah hili Kweli tongozo la kikurya, " Mimi Ni dume natafuta demu"
Ha ha ha dah inawezekana aisee jamaa hana lugha laini kabisa kudadadadeki.
hahaaha
aiseee watu wanacheza na roho za watu