grndossy
JF-Expert Member
- Apr 20, 2011
- 311
- 80
hajavurugwa,ila sema tu hawazi kumshawishi mwanamke hadi akubali tena kwa ridhaa yake kuivua chupi yake.!yahitaji moyo.
Ni vema ukajua Jamii Forum ni mtandao unaosomwa na watu wa rika tofauti, watu wa silka tofauti. Tumia lugha zilizovaa nguo kidogo ili tukuheshimu na tuheshimu mawazo yako. Haya maneno ya kijiweni hayafai kwa great thinker kama wewe. Sorry kama nimeingilia uhuru wako mkuu.