philosophy
Senior Member
- Nov 11, 2012
- 104
- 42
Kwa mara nyingine narudia kusisitiza kuwa niko peke yangu ni mwanaume,umri 23,natafuta mpenzi wa kike nitakayeishi naye, nimechoka kuwa pekee. Nahitaji mdada mzuri mwenye umri usiozid miaka 25,na usipungue 19. Awe na elimu ya kuanzia kidato cha 4, mwelewa na mwenye busara,urefu wa futi 5-6, asiwe mbaguzi wa dini ama kabila. Heshima ni kitu cha muhimu sana na ni sifa ya kipekee.Asiwe mwenye kupenda kwa sababu ya kitu fulani. Apende kwa sababu amenipenda mimi kama nilivyo. Kwa mawasiliano: FACEBOOK,TWITTERBADOO,(Alcheraus Mushumbwa). E-MAIL: alcherwega@ymail.com/zizoutego@gmail.com
VIGEZO NA MASHARITI KUZINGATIWA
VIGEZO NA MASHARITI KUZINGATIWA