Chumvi yao
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,578
- 5,544
Kama ilivyo Ada.......kaburi la Baba mtoto ndio CV ya Kwanza.......nimekupenda Bure.......huna masharti mengi wala nini........
anataka hela za kumtunza chalii ...kucare+kupenda haswaaah
jaman mm ninavyojua, upendo huja automatically wala hakuna anaejua na asiejua.au siyo!
JamaniUngeweka na picha ya kaburi la huyo mzazi mwenzio,ungetupunguzia maswali




Jf humu dahSwali konki hili, ukiwauliza wanaotafuta wenza (jinsia ke) watakupopoa.Zaid ya ngono,
Ni kitu gan Cha ziada nawe utaoffer kwnye hayo Mahusiano
NoopeNn ww![]()