natafuta modem ya vodafone ya kununua

natafuta modem ya vodafone ya kununua

baraka607

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2010
Posts
844
Reaction score
168
mambo vp wakubwa' natafuta modem ya vodafone nna 35000 Tshs. Anayeuza kwa bei hiyo anicheki 0753196849
 
Achana na modemu za voda toleo lote lililotoka saizibni feki, ukienda ofisini kwao voda wanauza 29,000 lakini hiyo pesa ni kama vile uyakuwabumetoa sadaka. Nenda Zain kanunue moderm ya ukweli, bei ni Tshs 60,000 hutajutia.
 
Achana na modemu za voda toleo lote lililotoka saizibni feki, ukienda ofisini kwao voda wanauza 29,000 lakini hiyo pesa ni kama vile uyakuwabumetoa sadaka. Nenda Zain kanunue moderm ya ukweli, bei ni Tshs 60,000 hutajutia.
Hizo za Zain hazitafanya kazi. Kama unataka poteza hela yako jaribu. Utazitumia kupitia mtandao gani maana hakuna mtandao unaojulikana kama Zain hapa Tanzania. Nenda kanunue Vodashop sh. 29000 na hutajutia hela yako hata mi naitumia.
 
shukran wadau' niliipata jana kwa mdau mmoja hapa hapa JF. Jah bless
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom