Natafuta mmoja JF wa kunipa hii!

Natafuta mmoja JF wa kunipa hii!

UKISIKIA PEPO YA DUNIA NDIO HIYO

Wanawake kama hawa sijui wako wapi siku hizi au sijui wameshapotea kwenye ramani ya dunia!


Wanawake wasasa bomu tupu(sio wote)

Vichwa maji
Wanachojua wao ni hela tu
Hawana mapenzi ya dhati
Hawajui kudekeza, hawajui kulea, hawajui kukaa na mume.. Wao wapo wapo tu kama mizimu ya NGONO
Wanangonoka na kila mtu apitae.. Hawaijui hata thamani yao..Wapowapo tu kama misukule

HONGERA KWAKE OBAMA

Wife material kama wa obama sijui wanapatikana wapi nikajichagulie namimi nijirambe!



Sent using Jamii Forums mobile app
Pole ana si kwa povu hili😀😀
 
Hakua napesa sawa lkn Michelle aliona potential kwa jamaa ndio maana alijiweka, Hela huna hata mikakati ya kujinasua hauna sasa hilo si furushi
"Apo kwenye mikakati " umeeleweka sana..

Muhimu kila mwanamke amshike mpenziwe kwenye safari ya kutoboa maisha.

SIO KUWA PARASITE (myonyaji/mtu anakua hana faida yoyote zaidi ya ku*m** yake ambayo kila mwanamke anayo)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe na wewe una hisia kaka! Nikajua unawazaga chura tuu
limitart_B7eCTw_nff-.jpeg
 
Back
Top Bottom