Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,028
- 59,657
Hapa jf utapata mme wa mtu
Habari wana jf. Natafuta mme kutoka jf. Naamini mme anapatikana sehemu yeyote. Mimi nina miaka 29. Ninae mhitaji awe na miaka 29 na kuendelea. Awe mkristo. Naomba alie serious tuwasiliane PM.
Jf kuna mme kweli mh.
Chema chajiuza kibaya chajitembeza. Unadhani kwanini hujapata mume wa kukuoa mpaka sasa?[/QUOTE
tena alitaki2wa katika tangazo lake aseme mume anayeanzia miaka 35 na kuendelea na siyo 29 tena, au kama anatafuta wa kula nae pasaka tuu
kuna mijitu inakatisha watu tamaa humu siipend kinoumer yan
so you have decide to broke your silence@SILENT T, AU MVUA ZA SIKU MBILI ZIMEKULETEA TAABU.
Kwanini lazima atoke jf?