Natafuta mme nina VVU

Bibie ngoja nikapime kwanza hospital, nikikutwa nao tu, hesabia ushapata mchumba baby bitemo eeh...
 
Sasa mchumba unaemtaka na yeye awe muadhirika? Nasikia vikichanganyika inakuwa balaa zaidi.
 
Naktakia kila laheri mpendwa,mungu aktangulie umpate mtakyepndana na mfunge ndoa,
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…