Mwana
JF-Expert Member
- Aug 6, 2010
- 5,435
- 1,967
Karibu uwe mke wangu wa tatu
Ha ha ha I like that. Tatizo dini yangu hainiruhusu!
Karibu uwe mke wangu wa tatu
Wee tafuta tu huyo mume mwema, mimi nitakuwa mume mwenzaMimi ni binti wa miaka32 Nina mtoto1 wa miaka5 nimeokoka nampenda yesu umefika wakati nahitaji mwenzi wangu wa maisha awe na umri34-42 awe mwenye mapenz ya kweli atakaenipenda km nilivyo mtafutaji wa maisha km Mimi tuwasiliane kwa email karungimiteni@yahoo.com plz naomba uwe serous na ni muhitaji kweli
Ha ha ha I like that. Tatizo dini yangu hainiruhusu!
Fuata msimamo wako mana uone wengne wanasema nini. Nadhani humfai
je ikitokea umepata mtu hapa jf alafu mukapanga apointment then siku yakuonana unakutana na mwanaume aliekuzalisha utakubali akuoe?
Bint una miaka 32 na una mtoto na umeokoka unae yesu sasa huyo mtoto ni wa yesu ilikua usema ni mama mwenye mtoto wewe bado hujaokoka umezama