abuuzahraa
Member
- Aug 13, 2009
- 24
- 9
Shirika letu la Sadiq Foundation lenye makao yake makuu Dar es salaam linatafuta mkufunzi wa mafunzo ya ukakamavu kwa vijana wetu wa ulinzi.
SIFA ZA MUOMBAJI;
1. Awe Askari polisi au Mwanajeshi mstaafu mwenye uzoefu na mafunzo ya ukakamavu zaidi ya miaka 10
2. Awe hajawahi kutuhumiwa na kosa lolote la jinai.
3. Awe na Afya na Siha bora kuweza kutoa mafunzo.
WASILIANA NASI KWA
E-mail: asadiqmedia@gmail.com:thumbup:
SIFA ZA MUOMBAJI;
1. Awe Askari polisi au Mwanajeshi mstaafu mwenye uzoefu na mafunzo ya ukakamavu zaidi ya miaka 10
2. Awe hajawahi kutuhumiwa na kosa lolote la jinai.
3. Awe na Afya na Siha bora kuweza kutoa mafunzo.
WASILIANA NASI KWA
E-mail: asadiqmedia@gmail.com:thumbup: