KAMANDAMSHELI
Member
- Jan 21, 2015
- 12
- 0
Kwani anesema ye msomi?Mmmhh ... Hiyo hata demu wa ku date nae hatafutwi hivyo.. Hebu andika kama msomi.. Utajikosesha mke bure kwa uandishi wako
mke mwema Anatoka JFSpecifications;miaka 27 nachini yahapo,awe nakazi serikalini(yoyote),mrefu namweupe au maji yakunde....mm nafanya kazi serikali nanimwaminifu,,mdada mwenye sifa hizo nayuko serious nandoa ani pm....niko serious nataka kuoa!!!!
Specifications;miaka 27 nachini yahapo,awe nakazi serikalini(yoyote),mrefu namweupe au maji yakunde....mm nafanya kazi serikali nanimwaminifu,,mdada mwenye sifa hizo nayuko serious nandoa ani pm....niko serious nataka kuoa!!!!
Acha kutubania bana....Ningekushauri uishi mwenyewe ndugu hawa wabeijing ni watu wa ajabu sana