mhasibumkuu
Member
- Sep 6, 2014
- 43
- 6
- Thread starter
-
- #41
Hakuna background ya kuscreen michango yako ya humu ndani ili kukuelewa wewe ni mtu wa aina gani, unajua humu tumeficha ID, ili mtu ajue we ni mtu wa aina gani anapitia michango yako.
Nimekuelewa sana tatizo sijachangia mada za humu ndani mda mrefu sana
Uliwahi kuwa unachangia? Maana hii inamsaidia mlengwa kufanya maamuzi kwa angalau kutumia hii michango ya ndani.
Humu ndani kumeibuka wimbi la matapeli, mtu ana ID 7 zote zinatafuta wachumba. Na hata akimpata bado anaendelea kutafuta kwa zile ID zingine.
Tuwahurumie dada zetu jamani.
Kulala si lali usingizi sipati naesabu tu mabati, uko wapi nakutafuta sikupati .....
Jamani mko wapi huyu Ndugu anawatafuta hivi na yupo mkoani kwangu. Mabinti wa kisukuma hampo humu ndani.
Sijawaona kiongozi, bado nasubiri
Habari wadau, Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikiishi peke yangu na sasa natangaza rasmi nahitaji mke humu ndani nipo Mwanza nina 30yrs nimeajiriwa nahitaji mwanamke anayejitambua asiwe mnene nahitaji awe na umbo la wastani umri asinizidi at least awe miaka 27 kushuka chini kabila lolote dini yoyote.
Kama unahitaji mume ni PM namba yako nitakupigia
Kwaiyo ndio umeamua kunitaftia bwana ???
Kulala si lali usingizi sipati naesabu tu mabati, uko wapi nakutafuta sikupati .....
Aisee
Angalia usichizike tu
poleee
Okey
God is good..
Naiman JF itanipa mmoja wa kweli na wa haki "someone special to wipe to tears off" .... Kwa Mara ya kwanza akipatikana wa kweli na haki hapa wana JF watasimamia kuanzia maandalizi mpaka ndoa na itakua ni JF SPECIAL COUPLE
Wachaa kwahiyo itakuwa kijf zaidi,!! Haya bana all the best.usikose kunialika nipo pasiasi hapa loh!!!
Uliwahi kuwa unachangia? Maana hii inamsaidia mlengwa kufanya maamuzi kwa angalau kutumia hii michango ya ndani.
Humu ndani kumeibuka wimbi la matapeli, mtu ana ID 7 zote zinatafuta wachumba. Na hata akimpata bado anaendelea kutafuta kwa zile ID zingine.
Tuwahurumie dada zetu jamani.