Natafuta mke

mhasibumkuu

Member
Joined
Sep 6, 2014
Posts
43
Reaction score
6
Habari wadau, Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikiishi peke yangu na sasa natangaza rasmi nahitaji mke humu ndani nipo Mwanza nina 30yrs nimeajiriwa nahitaji mwanamke anayejitambua asiwe mnene nahitaji awe na umbo la wastani umri asinizidi at least awe miaka 27 kushuka chini kabila lolote dini yoyote.

Kama unahitaji mume ni PM namba yako nitakupigia
 

karibu mhasibumkuu. wakuu njoon uku kuna fursa.
 
lugha yako mkuu, utafikiri ulimuweka humu sa umekuja kumuijia!!! hawa watoto inahitaji kuwabembeleza, la sivyo wote utawaita shemeji
 
Mkuu Mhasibumkuu,,,jina zuri sina hili na nahisi ndo mhasibumkuu,,,,,,,wapo tu subiri watakuja au ngoja nikuitie!!warembo njooni kuna fursa huku!!!!!!kwa majina siwajui sababu mi mgeni,,,,,,,,,,,
 
lugha yako mkuu, utafikiri ulimuweka humu sa umekuja kumuijia!!! hawa watoto inahitaji kuwabembeleza, la sivyo wote utawaita shemeji

Hakuna haja ya kuzunguka wakati wanaelewa vizuri Kwa ambao wako serious wata fuata maelekezo
 
Mkuu Mhasibumkuu,,,jina zuri sina hili na nahisi ndo mhasibumkuu,,,,,,,wapo tu subiri watakuja au ngoja nikuitie!!warembo njooni kuna fursa huku!!!!!!kwa majina siwajui sababu mi mgeni,,,,,,,,,,,

Nisaidie kuwaita mkuu nawasubiri niko hapa
 
pole sana kwa kuvumilia kwa muda mrefu
 
Mkuu bado hujapata maana umetoa fursa kwanzia jana saa 4 inaonyesha ulikiwa katika wakati mgumu sana
 
Kuwa single ni namna ya kutafsiri upwekwe lakini nina majirani wa kila aina na Kwa kila mahali, ni mke tu ndo sina

Anza na hao majirani kwanza, ama majirani zako wote ni wanaume.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…