Waungwana mi ni kijana wa kitanzania,umri wangu ni miaka 32,nina kaz inayonipa kipato cha kawaida tu,nipo sirious kwa alie tayari basi ani pm then tujue la kufanya,karibun sana.
acount sina,sina asset yoyote zaidi ya moyo wa kupenda na huruma,assets nk ni vya kupita na tutaviacha ila moyo wa upendo na penzi la kweli nitakufa nalo
acount sina,sina asset yoyote zaidi ya moyo wa kupenda na huruma,assets nk ni vya kupita na tutaviacha ila moyo wa upendo na penzi la kweli nitakufa nalo
acount sina,sina asset yoyote zaidi ya moyo wa kupenda na huruma,assets nk ni vya kupita na tutaviacha ila moyo wa upendo na penzi la kweli nitakufa nalo
Tehe tehe tehe....
Sio dunia ya sasa mkuu.
Miaka ileeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee..... arobaini na kweusi ndo ilikua applicable.
Ila kwa sasa hesabu maumivu. Ukileta hizi nyimbo kwa lara 1 na kina madame b na wenzie inakula kwako.
Tehe etehe etehee