Umejaribu makanisan umekosaa??Mbona wale wa msikitin wameoana sn juz tu hapa kabla ya huu mwez wa haki kuanza?????Dogo kwa miaka 30 haujapata mke/mchumba mpaka uje kutangaza huku!!??Nina mke na small house nitafute nikupe kozi ya kuwapata au sikiliza kwa makin nyimbo ya diamond feat ney