Me bado nina soko huku kwa ground my friend ๐๐.. bado sijachujaJaribu kuomba mume ๐afu utupe feedback
Huu ni uchawi๐๐Hata ukipata Leo mtaachana kabla ya mwaka mpya
Dogo usiwe unaingia kwenye nyuzi za kikubwa๐ฅบHivi mnapataga kweli wake wenyewe humu au ndo hayanihusu๐๐.. Anyways Goodluck
Sawaโบ๏ธโบ๏ธ๐คญDogo usiwe unaingia kwenye nyuzi za kikubwa๐ฅบ
Wanaosaka wake humu hawana soko huko waliopo?Me bado nina soko huku kwa ground my friend ๐๐.. bado sijachuja
Hilo swali ndo tunatakiwa kuwauliza, shida nini maana wa humu ndo haohao wa mtaani ๐๐Wanaosaka wake humu hawana soko huko waliopo?
Tukiwaambia wanaooa saiv betri inasoma 2% muwe mnaelewa ๐Huu ni uchawi๐๐
humu si watapeana mawasiliano, mengine watafahamishana taratibu huko nje๐Tukiwaambia wanaooa saiv betri inasoma 2% muwe mnaelewa ๐
Kwanza huwezi tafuta mwanamke ktk ombwe la watu wanaotumia utambulisho bandia, hamjuani, hamjasomana kitabia, hamjakiwasha kuona kama vitendeakazi(vitombeo) yaliyomo yamo
Pili angalia muhusika alivojieleza maelezo hayajitishelezi kbs hasemi umri wake, mitazamo ya kiimani, hali yake ya Sasa kiuchumi kiafya n.k
Ww jf wengi ni diaspora ๐คฃwanaomba ushauri, wachumba na misaada humu ndo tunakaaa MBINGAHilo swali ndo tunatakiwa kuwauliza, shida nini maana wa humu ndo haohao wa mtaani ๐๐
Ndo nachosema mm simu Moja tu wakiulizana watakimbiana kabla ya mwaka mpya๐humu si watapeana mawasiliano, mengine watafahamishana taratibu huko nje๐
Jamani, mbona Mbinga๐๐Ww jf wengi ni diaspora ๐คฃwanaomba ushauri, wachumba na misaada humu ndo tunakaaa MBINGA
Ahahahah๐๐๐.. kuna watu wamepata ndoa humu ujue?Ndo nachosema mm simu Moja tu wakiulizana watakimbiana kabla ya mwaka mpya๐
Weka vyeti vya ndoa ๐คฃ๐คฃhumu mtu ana ID mbili Moja ya kike Moja ya kiume anajifanyia vitu anapenda......hz fake ID hzAhahahah๐๐๐.. kuna wamepata ndoa humu ujue?
Ahahaha๐๐๐คญ๐คญ.. ila wewe jamaa hapana kwakweli,, ila si walishawahi hata kupiga story za mapenzi huko nje jamaniWeka vyeti vya ndoa ๐คฃ๐คฃhumu mtu ana ID mbili Moja ya kike Moja ya kiume anajifanyia vitu anapenda......hz fake ID hz
Story wamepiga na wengine hadi nyeti wamelambana ila hayo yanafanyika kimkakati sana.....baada ya hapo wakichokana ndo mtu anakuja na multiple ID au anabadilisha kbsAhahaha๐๐๐คญ๐คญ.. ila wewe jamaa hapana kwakweli,, ila si walishawahi hata kupiga story za mapenzi huko nje jamani
Mambo ni mengi sana aisee ๐๐๐Story wamepiga na wengine hadi nyeti wamelambana ila hayo yanafanyika kimkakati sana.....baada ya hapo wakichokana ndo mtu anakuja na multiple ID au anabadilisha kbs
Kuna syndicate za mapenzi humu๐Mambo ni mengi sana aisee ๐๐๐
Mmh ๐๐๐Kuna syndicate za mapenzi humu๐