sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
She is absolute fine...How is my EX doing?!
How ar you Mr
She is absolute fine...How is my EX doing?!
Nimestuka kidogo...Abee kaka mtumishi
Me mzima kabisa kaka mtumishi, sijui weweNimestuka kidogo...
Anyway are you fine mtumishi....
I will Chek you pm....
Mi pia natafuta mme awe na miaka 30 na kuendelea mi nna 27yrs sichagui din wala kabila wala muonekanoNatumaini muwazima ....
Natafuta mwanamke nitayeanza nae mahusiano then nimuoe ,..Nina miaka 30, mwanamke asizid miaka 27 ...elimu ya kidato cha nne na kuendelea ....dini kabila rangi sibagui ....
Ukiwa serious nione pm tuyajenge
Kwa kweli we ndo umechoshwa na ubachela;hutaki vigezo zaidi ya umriMi pia natafuta mme awe na miaka 30 na kuendelea mi nna 27yrs sichagui din wala kabila wala muonekano

Hahahahaha anafanya online shoppingDuh siku hizi kubofya touch screen ukiwa kitandan unapata mke!!?
Basi mkamalizane huko prime minister(PM)Mi pia natafuta mme awe na miaka 30 na kuendelea mi nna 27yrs sichagui din wala kabila wala muonekano