Natafuta Mke Wakuoa Nitaeanza Nae Maisha.

Natafuta Mke Wakuoa Nitaeanza Nae Maisha.

Lxxiv

New Member
Joined
May 23, 2015
Posts
2
Reaction score
0
Habari Wana Jf.Natafuta Mke Wa Kuoa Sina Ubaguzi Wa Elimu,dn,rangi,kazi,wala Kabila,wote Mnakaribishwa.Lakini Naitaji Mwenyenyekevu Anaetambua Umhimu Wa Ndoa mwenye Umri 18-36.pia kwa sasa sina kazi kwn nimemaliza chuo mwaka huu ndo natafuta hvo nahitaji ataekua tayari kuanza nae maisha.
 
We jamaa acha ujinga, ebu tafuta kazi kwanza, tafuta pesa....
Mapema hii unawaza mke? Huna gari huna nyumba nzur? Utakufa masikini
 
Wa kuanza nae maisha????

Utamtafuta sana. ...hawataki siku hizi wanasema mkishazipata mnawaona wazee hawafai na kujimuvuzisha small hausi

Mwaya all the best.....

Ila nakushauri tafuta ajira/biashara kwanza ndoa sio lelemama
 
Habari Wana Jf.Natafuta Mke Wa Kuoa Sina Ubaguzi Wa Elimu,dn,rangi,kazi,wala Kabila,wote Mnakaribishwa.Lakini Naitaji Mwenyenyekevu Anaetambua Umhimu Wa Ndoa mwenye Umri 18-36.pia kwa sasa sina kazi kwn nimemaliza chuo mwaka huu ndo natafuta hvo nahitaji ataekua tayari kuanza nae maisha.

Hivi wewe unadhani kuoa ni kama kwenda chooni?
Endelea kujichua, ukipata pesa za kutosha oa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom