TheBuilder
JF-Expert Member
- Apr 21, 2014
- 237
- 212
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 28, sijawai kuoa wala sina mtoto. Nina urefu wa 5.4' and 60kgs, nakunywa pombe ila sivuti sigara.
Nimtafutaye:
1. Awe amepevuka akili kwa maana kwamba anajua majukumu yake kwenye ndoa.
2. Awe na elimu kuanzi form 4 na kuendelea, asiwe mvivu wa kujiendeleza kielimu.
3. Umri usizidi miaka 24-26, awe na shape ya kike hasa kajungu kanahusika.
4. Mkristo atapewa kipaumbele, kama huko interested ni PM.
Nimtafutaye:
1. Awe amepevuka akili kwa maana kwamba anajua majukumu yake kwenye ndoa.
2. Awe na elimu kuanzi form 4 na kuendelea, asiwe mvivu wa kujiendeleza kielimu.
3. Umri usizidi miaka 24-26, awe na shape ya kike hasa kajungu kanahusika.
4. Mkristo atapewa kipaumbele, kama huko interested ni PM.