King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,670
- 68,630
Naamini wapo nitampata mkuu maana ndio hitaji la moyo wangu
Sawa Mkuu utampata tu ila asiwe kama huyu.
Naamini wapo nitampata mkuu maana ndio hitaji la moyo wangu
Ungekuwa India ningekushauri ufike office ya jamaa yangu,ungekuta album kabisa ungechagua unachotaka kwa posho ndogo tu.Lakini nakushauri achana na hawa maninja wa mjini ni time boom wanalipuka mda wowote.Hamna shida, sihitaji tuu awe mwembamba basi
Sijaelewa mkuuUngekuwa India ningekushauri ufike office ya jamaa yangu,ungekuta album kabisa ungechagua unachotaka kwa posho ndogo tu.Lakini nakushauri achana na hawa maninja wa mjini ni time boom wanalipuka mda wowote.
Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Kuwa makini dogo,hapa siyo Facebook..Kuna tatizo kwani mkuu?
ah wapi, hawa ni madomo zege waliochangamkaintrovert
dah kanizidi kidogo tuNahitaji kama huyuView attachment 1776120