Natafuta mke,umri wake usizidi 33

Natafuta mke,umri wake usizidi 33

ukwajumtamu

Member
Joined
Mar 6, 2015
Posts
15
Reaction score
14
Mimi ni mtumishi serikalini.Natafuta mke umri wake usizidi miaka 33.Awe dini yeyote.Angalau awe na elimu ya certificate yoyote ile.Nina elimu ya shahada moja.Sichagui kabila.

Aliye serious anipm tutawasiliana zaidi
.
 
Mimi ni mtumishi serikalini.Natafuta mke umri wake usizidi miaka 33.Awe dini yeyote.Angalau awe na elimu ya certificate yoyote ile.Nina elimu ya shahada moja.Sichagui kabila.Aliye serious anipm tutawasiliana zaidi

Vipi SITTI MTEMVU Hakufai?
 
Umri wako?Muonekano? mrefu mfupi mweupe mweusi mnene makazi? Dar Lindi
 
rubii

Duu bora umenisaidia swali la mkuu
 
Last edited by a moderator:
Toa hiyo utumishi Wa serikali, tunaogopa mafisadi.
 
bado maelezo yako hujaweka sawa. Mshahara wako una digit saba ? usafiri gani ulionao ? , una akaunti stanbic , una undugu au urafiki na rugemalila.
 
Naamini mke au mume anapatikana popote,kumbuka watu wamekutana vyuoni,mahospitalini au kaunta za bar miezi kadhaa mbele wakaoana.Hili ni jukwaa maalum kwa ajili yetu.Wenye nia nawakaribisha pm naamini huko tutafahamiana vema
 
Wewe rangi yako ukoje? U mweuc au mweupe? Muonekano. Unapiga gamble ?
 
Sinywi pombe na sijawahi.Mimi mweusi nina kimo cha kawaida siwezi itwa mrefu au mfupi
 
Ninayemjua angekufaa sana mkuu, ila kesho anatimiza miaka 34
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom