kila la heri. halafu muda uliopost hii thread usingz ulipaa nini mkuu?
yaan kuna watu wanashinda hum utadhan wanapokea mshahara.ndo maana taifa hili masikini na wavivu
yaan kuna watu wanashinda hum utadhan wanapokea mshahara.ndo maana taifa hili masikini na wavivu
Labda anaishi Marekani au kazi zake za usili.Tusihukumu
Habarini wakuu.
Natafuta mchumba
Sifa zangu age 30, mrefu,christinity.
Sifa za mke nayetaka age below 30,Christianity,minimum Education- first degree,awe na vision,awe Mjasiriamali au mwajiriwa.
Kama kuna bibie anafeet hapo ni PM.welcome
Kweli eeeh?wake wa humu hawako serious wako ki_jf jf tu bora urud mtaan kwenu
Kweli eeeh?