7ya
Member
- Oct 10, 2015
- 43
- 0
Ndg wana JF,
Habari za jioni!
Kama ilivyo title hapo juu. Kwa kunifahamu zaidi nina umri wa miaka 21, ni mmasai, nina shahada ya masomo ya sayansi (chem&maths) ni mkristu
kwa hayo machache yanawatosheni na kwa aliye tayari na mwenye malengo ya kuwa mke mwema anitafute kwa mawasiliano nitakayotoa.
Habari za jioni!
Kama ilivyo title hapo juu. Kwa kunifahamu zaidi nina umri wa miaka 21, ni mmasai, nina shahada ya masomo ya sayansi (chem&maths) ni mkristu
kwa hayo machache yanawatosheni na kwa aliye tayari na mwenye malengo ya kuwa mke mwema anitafute kwa mawasiliano nitakayotoa.


