Natafuta mke mwenye UKIMWI

Natafuta mke mwenye UKIMWI

Kachelenga

Member
Joined
Sep 11, 2012
Posts
26
Reaction score
6
Natafuta mke mwenye maumbukizi ya UKIMWI awe mtu mzima angalau awe na umri kuanzia miaka 40 na kuendelea mimi pia mtu mzima!mawasiliano ni sekenemboh@gmail.com au PM
 
Mungu na akapate kutimiza haja ya moyo wako....ila sidhani kama umetumia maneno sahihi kufikisha ujumbe wako...ingefaa kama ungeandika mwanamke anaeishi na VVU..siku hizi hatunaga UKIMWI kaka labda ujitakie mwenyewe kuupata huo UKIMWI wachache watenielewa.....lastly be positive and constructive usijihukum kw ahali uliyo nayo,....bado tunakuhitaji sana kwenye ujenz wa taifa hili na siku hizi watu wanaoana na kuzaa watoto bila VVU....karibu sna
 
Kuna mmoja namfahamu nae alikuwa anatafuta mtu kama wewe, ngoja nimuelekeze kwenye hii thread
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom